Pendekezo la muswada lazua hofu miongoni mwa wahamiaji

Waziri wa huduma za jamii  Dan Tehan akizungumza bungeni

Waziri wa huduma za jamii Dan Tehan akizungumza bungeni Source: AAP

Vikundi vya wa hamiaji vime sema vime pewa hofu na pendekezo mpya ya sharia, ambayo ita fanya wahamiaji wasuburi muda mrefu zaidi kufuzu kupokea malipo ya mafao.


Serikali ya shirikisho ime wasilisha mswada bungeni, unao pendekeza mwaka mmoja wa ziada kufuzu kupokea mafao hayo.

Iwapo pendekezo la mageuzi hayo yaliyo pendekezwa, yata pitishwa bungeni, yata wa athiri wahamiaji wapya kuanzia Julai mosi mwaka huu wa 2018.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Pendekezo la muswada lazua hofu miongoni mwa wahamiaji | SBS Swahili