Serikali ya shirikisho ime wasilisha mswada bungeni, unao pendekeza mwaka mmoja wa ziada kufuzu kupokea mafao hayo.
Pendekezo la muswada lazua hofu miongoni mwa wahamiaji

Waziri wa huduma za jamii Dan Tehan akizungumza bungeni Source: AAP
Vikundi vya wa hamiaji vime sema vime pewa hofu na pendekezo mpya ya sharia, ambayo ita fanya wahamiaji wasuburi muda mrefu zaidi kufuzu kupokea malipo ya mafao.
Share