Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waadhibiwe wanaovunja sheria, badala ya jamii nzima

Baadhi ya viongozi wa jamii zawa Afrika pamoja na polisi wa Victoria wakizungumza na vyombo vya habari mjini Melbourne, Victoria

Baadhi ya viongozi wa jamii zawa Afrika pamoja na polisi wa Victoria wakizungumza na vyombo vya habari mjini Melbourne, Victoria Source: AAP

SBS Swahili imezungumza na kiongozi mmoja kutoka jammy ya Waafrika wanaoishi Melbourne, kuhusu madai ya waziri wa mambo ya ndani Peter Dutton kuwa, wakazi wa Melbourne wanaogopa kutoka usiku kwa sababu ya magenge ya vijana wenye asili ya Afrika. Kiongozi huyo amefunguka kuhusu madhara ya madai ya waziri huyo kwa jamii pana ya Waafrika.



Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now