Rais Kenyatta "Wahudumu wa afya kupokea chanjo ya COVID-19 kwanza"

Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya akitoa hotuba

Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya akitoa hotuba Source: State House Kenya

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, ametupilia mbali uvumi kuwa, wanasiasa watapokea chanjo ya COVID-19 kabla ya wahudumu wa afya ambao wako katika mstari wa mbele ya huduma.


Tanzania imetoa onyo kali kwa wale wanaotoa na kusambaza taarifa za magonjwa ya mlipuko ikiwemo janga la Corona.

Onyo hilo linatolewa wakati madhehebu ya dini yakieleza hali ilivyo katika taasisi zao kuhusiana na janga hilo ambalo linaendelea kuisumbua dunia. Msemaji Mkuu wa serikali Hassan Abbas amesema ni kinyume cha taratibu mtu kutoa taarifa zinazohusiana na majanga kama vile mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona.

Rais wa Sudan Kusini ameamuru kusitishwa kwa huduma za moja ya kampuni za ndege nchini humo, baada yake kuanguka siku ya jumanne nakuwauwa abiria wote. Miongoni mwa waliofariki, ni rubani kutoka Kenya, rubani mwenza kutoka Sudan Kusini na abiria saba wakike.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Rais Kenyatta "Wahudumu wa afya kupokea chanjo ya COVID-19 kwanza" | SBS Swahili