Rais Museveni achaguliwa tena Uganda, ila upinzani wadai uchaguzi ulijawa wizi

Supporters of Ugandan President Yoweri Kaguta Museveni celebrate in Kampala, Uganda

Supporters of Ugandan President Yoweri Kaguta Museveni celebrate in Kampala, Uganda Source: AAP

Kiongozi wa muda mrefu wa Uganda, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa nchi hiyo.


Hata hivyo, vyama vya upinzani vimesema matokeo hayo niya udanganyifu. Wakati huo huo Jumapili Bw Wine, alituma ujumbe kwa mtandao wa twitter kuwa vikosi vyakijeshi, havikuwa vikimruhusu yeye na mkewe Barbie, kuondoka nyumbani, na hata kuvuna vyakula kutoka shamba lao.

Kwa upande wayo tume ya uchaguzi imesema kuwa Rais Museveni, alipokea 58% ya kura wakati Bobi Wine alipokea 38% ya kura na 52% yawaganda walipa kura kura.

Hata kama rais Museveni alibaki madarakani, angalau wanachama tisa wa baraza lake lamawaziri, naibu rais akijumuishwa, walishindwa katika uchaguzi huo, wengi wao wakishindwa katika uchaguzi huo na wagombea wa chama cha Bw Wine.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service