Rais wa Somalia atangaza ameachana na nia yakusalia madarakani

Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo akihotubia taifa

Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo akihotubia taifa Source: Mohamed Abdullahi Farmajo

Baada ya wiki za maandamano na shinikizo kali kutoka vyama vya upanzani, Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo ametangaza kuwa ana achana na nia yake yakusalia madarakani kwa miaka mbili ijayo.


Na nchini Kenya, Rais Uhuru Kenyatta amelegeza baadhi ya masharti ya COVID-19 katika kaunti tano nchini humo.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi ana taarifa zaidi kutoka mjini Nairobi, Kenya.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now

Rais wa Somalia atangaza ameachana na nia yakusalia madarakani | SBS Swahili