Na nchini Kenya, Rais Uhuru Kenyatta amelegeza baadhi ya masharti ya COVID-19 katika kaunti tano nchini humo.
Rais wa Somalia atangaza ameachana na nia yakusalia madarakani

Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo akihotubia taifa Source: Mohamed Abdullahi Farmajo
Baada ya wiki za maandamano na shinikizo kali kutoka vyama vya upanzani, Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo ametangaza kuwa ana achana na nia yake yakusalia madarakani kwa miaka mbili ijayo.
Share