Tuzo zamu Australia wa mwaka zilianza kutolewa katika mwaka wa 1960, ila tangu wakati huo kumekuwa kuwa mchanganyiko wa wanao pokea tuzo hizo kwa upande wa jinsia zao.
Ila katika sherehe ya tuzo hizo ya mwaka huu wa 2021, historia ilitengenezwa baada ya wanawake wanne kunyakua tuzo hizo katika vitengo vyote.
Rosemary Kariuki ni mmoja wa wanawake husika walio tengeza historia katika sherehe za tuzo hizo. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bi Rosemary aliweka wazi hisia zake kuhusu tukio hilo lakihistoria pamoja na majukumu mapya ambayo ame rithi kupitia ushindi wake.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






