Rosemary Kariuki afunguka kuhusu tuzo yake ya shujaa wa jamii

Rosemary Kariuki, mshindi wa tuzo ya Shujaa wa Jamii Australia 2021

Rosemary Kariuki, mshindi wa tuzo ya Shujaa wa Jamii Australia 2021 Source: Rosemary Kariuki

Mwaka wa 2021 umekuwa wenye changamoto, na furaha tele kwa Bi Rosemary Kariuki.


Licha ya changamoto anazo kabili, Bi Rosemary anasababu nyingi yakurufahi nakusherehekea katika mwanzo wa mwaka huu.

Mwaka wa 2021 umeanza vizuri sana kwa Bi Rosemary Kariuki, mwanzo kabisa alitangazwa mshindi wa tuzo ya Shujaa wa jamii ya Australia katika jimbo la New South Wales, na wiki chache baadae Waziri Mkuu wa Australia, alimtangaza Bi Rosemary kuwa ni mshindi wa tuzo hiyo pia kitaifa mjini Canberra.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bi Rosemary Kariuki aliweka wazi hisia zake kuhusu kushinda tuzo hiyo. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Rosemary Kariuki afunguka kuhusu tuzo yake ya shujaa wa jamii | SBS Swahili