Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rosemary Kariuki afunguka kuhusu tuzo yake ya shujaa wa jamii

Rosemary Kariuki, mshindi wa tuzo ya Shujaa wa Jamii Australia 2021

Rosemary Kariuki, mshindi wa tuzo ya Shujaa wa Jamii Australia 2021 Source: Rosemary Kariuki

Mwaka wa 2021 umekuwa wenye changamoto, na furaha tele kwa Bi Rosemary Kariuki.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mwaka wa 2021 umekuwa wenye changamoto, na furaha tele kwa Bi Rosemary Kariuki.


Licha ya changamoto anazo kabili, Bi Rosemary anasababu nyingi yakurufahi nakusherehekea katika mwanzo wa mwaka huu.

Mwaka wa 2021 umeanza vizuri sana kwa Bi Rosemary Kariuki, mwanzo kabisa alitangazwa mshindi wa tuzo ya Shujaa wa jamii ya Australia katika jimbo la New South Wales, na wiki chache baadae Waziri Mkuu wa Australia, alimtangaza Bi Rosemary kuwa ni mshindi wa tuzo hiyo pia kitaifa mjini Canberra.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bi Rosemary Kariuki aliweka wazi hisia zake kuhusu kushinda tuzo hiyo. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now