Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Sekta ya vyuo yadai wanafunzi wakimataifa wanatumiwa kama "mpira" wakisiasa

University graduates

University graduates, Photo credit should read: Chris Ison/PA Wire Source: Press Association

Vyuo na biashara vina fanya kampeni ya ushawishi dhidi ya sheria zenye utata, kuweka idadi ya wanafunzi wa kimataifa kuanzia mwaka ujao.


Published

Updated

By Sydney Lang, Sophie Bennett

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vyuo na biashara vina fanya kampeni ya ushawishi dhidi ya sheria zenye utata, kuweka idadi ya wanafunzi wa kimataifa kuanzia mwaka ujao.


Wame sema muswada huo ni "sera iliyo harakishwa" na "ni kifaa chaku badilisha mwelekeo wakisiasa".

Ila, serikali imesema mageuzi yana hitajika kuwazuia watu kutumia viza za wanafunzi kama mlango wa nyuma wakubaki Australia.

Onyo dhidi yakuweka vikomo kwa nafasi za wanafunzi wakimataifa zinasema mageuzi yanaweza hatarisha maelfu ya ajira, pamoja na kukandamiza sana juhudi za utafiti wa vyuo vikuu.

Rasimu ya muswada iliyo tangazwa mnamo Mei na waziri wa elimu Jason Clare, inaweza mpa mamlaka yakuweka idadi ya mwisho ya usajili wa wanafunzi wakimataifa kwa masomo na watoaji.

Wataalam wa sera walikosoa pendekezo hilo waki liita "kichocheo cha machafuko'.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now