Prime Minister Anthony Albanese during Question Time in the House of Representatives at Parliament House in Canberra, Monday, September 1, 2025. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE
Wanasiasa wame laani ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya wageni iliyo onyeshwa katika maandamano kadhaa dhidi ya uhamiaji wikiendi iliyo pita.
Baada ya makabiliano makali ya vurugu na uwepo mkubwa wa kundi lawa Nazi, chama cha Greens kina iomba serikali ishughulikie kwa haraka, ukuaji wa makundi ya mrengo wakulia yenye misimamo mikali nchini Australia.