Wanasiasa wame laani ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya wageni iliyo onyeshwa katika maandamano kadhaa dhidi ya uhamiaji wikiendi iliyo pita.
Sikiza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Baada ya makabiliano makali ya vurugu na uwepo mkubwa wa kundi lawa Nazi, chama cha Greens kina iomba serikali ishughulikie kwa haraka, ukuaji wa makundi ya mrengo wakulia yenye misimamo mikali nchini Australia.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





