Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya mseto yapambana na vita kutoka pande zote, vikao vya bunge la taifa vikianza

Wabunge washiriki katika kikao cha bunge la taifa, chini ya sheria zawatu kujitenga mita tatu mjini Canberra, ACT.

Wabunge washiriki katika kikao cha bunge la taifa, chini ya sheria zawatu kujitenga mita tatu mjini Canberra, ACT. Source: AAP

Bunge la shirikisho lime anza viako leo Juma nne, 8 Feb ila, haitakuwa kurejea kwa utulivu kwa biashara yakutunga sheria.


Published

Updated

By Pablo Vinales, Deborah Groarke

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Bunge la shirikisho lime anza viako leo Juma nne, 8 Feb ila, haitakuwa kurejea kwa utulivu kwa biashara yakutunga sheria.


Serikali ya mseto inapigana vita kutoka pande zote, joto la mivutano yauongozi ikiendelea kuongezeka na, muswada wa ubaguzi wakidini unao pendelewa na serikali ukiwa mashakani.

Sheria hizo zimeratibiwa kujadiliwa bungeni leo jumanne, baada ya vikao vya bunge kuanza kwa mwaka huu.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now