Bunge la shirikisho lime anza viako leo Juma nne, 8 Feb ila, haitakuwa kurejea kwa utulivu kwa biashara yakutunga sheria.
Serikali ya mseto inapigana vita kutoka pande zote, joto la mivutano yauongozi ikiendelea kuongezeka na, muswada wa ubaguzi wakidini unao pendelewa na serikali ukiwa mashakani.
Sheria hizo zimeratibiwa kujadiliwa bungeni leo jumanne, baada ya vikao vya bunge kuanza kwa mwaka huu.
Share






