Serikali ya mseto yapambana na vita kutoka pande zote, vikao vya bunge la taifa vikianza

Wabunge washiriki katika kikao cha bunge la taifa, chini ya sheria zawatu kujitenga mita tatu mjini Canberra, ACT.

Wabunge washiriki katika kikao cha bunge la taifa, chini ya sheria zawatu kujitenga mita tatu mjini Canberra, ACT. Source: AAP

Bunge la shirikisho lime anza viako leo Juma nne, 8 Feb ila, haitakuwa kurejea kwa utulivu kwa biashara yakutunga sheria.


Serikali ya mseto inapigana vita kutoka pande zote, joto la mivutano yauongozi ikiendelea kuongezeka na, muswada wa ubaguzi wakidini unao pendelewa na serikali ukiwa mashakani.

Sheria hizo zimeratibiwa kujadiliwa bungeni leo jumanne, baada ya vikao vya bunge kuanza kwa mwaka huu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service