Serikali ya shirikisho huhimiza elimu yawatu wazima nchini kote, hususan kwa wahamiaji na wakimbizi wapya nchini ambao kiingereza si lugha yao ya kwanza.
Hata hivyo kuna miradi mingi nchini kote, yaku funza kiingereza bila malipo.
Share
LIVE, FREE and EXCLUSIVE
Published
Updated
By SBS Swahili
Source: SBS
Share this with family and friends
Serikali ya shirikisho huhimiza elimu yawatu wazima nchini kote, hususan kwa wahamiaji na wakimbizi wapya nchini ambao kiingereza si lugha yao ya kwanza.



