Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mwongozo wa Makazi:Jinsi mfumo wa haki kwa vijana unavyo fanya kazi Australia

Nyundo yakutoa hukumu mahakamani

Nyundo yakutoa hukumu mahakamani Source: Getty Images

Hakuna mzazi anayetaka kupokea simu kutoka kwa polisi ikisema mtoto wao amekamatwa.


Published

Updated

By Audrey Bourget

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Hakuna mzazi anayetaka kupokea simu kutoka kwa polisi ikisema mtoto wao amekamatwa.


Lakini ikiwa inatokea, ni muhimu kujua haki za mtoto wako, ikiwa ni pamoja na kuomba msaada wa mwanasheria.

Ikiwa unataka matokeo bora kwako au mtoto wako, unapaswa kuwasiliana na mwanasheria kupitia Usaidizi wa Kisheria kwenye jimbo lako mapema iwezekanavyo.

Mwanasheria wako atakusaidia kuperuzi mfumo wa haki ya vijana na kukupa msaada mkubwa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now