Ripoti mpya kutoka ofisi ya twakwimu ya Australia (ABS) imebaini kuwa ni 40% tu yawa hamiaji hao ambao wanafanya kazi katika sekta yautaalam wao.
Wakati uhaba wa uzoefu wakazi nchini pamoja na uhaba wa vyeti vya shule, vinapokuwa kizuizi chakupata ajira, msaada uliopo ni upi?




