Dunia inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kibinadamu tangu mwisho wa vita kuu ya pili ya Dunia na inakadiriwa watu milioni 65 imewalazimu kuyakimbia makazi yao na kutawanyika duniani kote.
Jumapiili tarehe 16 hadi Jumamosi tarehe 22 mwezi huu wa sita, ni wiki ya wakimbizi (Refugee Week) nchini Australia.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni #Pamoja na Wakimbizi, wito wa kulinda usalama na haki za wakimbizi.
Share






