SHEREHE ZA KISWA KUUAGA MWAKA

Baadhi ya wanachama wa KISWA wakiwa na tuzo katika moja ya matukio ya mwaka

Baadhi ya wanachama wa KISWA wakiwa na tuzo katika moja ya matukio ya mwaka Source: SBS Swahili

Baada ya kuandamwa na janga la Corona kwa mwaka huu 2020, Umoja wa Wanajumuiya ya Wakenya (KISWA), wameandaa sherehe kabambe kushukuru kuufunga mwaka na kuepukana na janga hili la Covid-19.


Madhumuni ya sherehe hizo ni kutoa shukrani za kipee kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwakifikisha hapa na kusherehekea kuwa wazima wa afya baada ya kuandamwa na janga hili na pia kuwaunganisha Waafrika wote kwa ujumla.

Pata kufahamu zaidi yaliyosemwa na Waratibu wa sherehe hizo kama walivyohojiwa na Mtayarishaji wetu FRANK MTAO


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
SHEREHE ZA KISWA KUUAGA MWAKA | SBS Swahili