Baada ya kuandamwa na janga la Corona kwa mwaka huu 2020, Umoja wa Wanajumuiya ya Wakenya (KISWA), wameandaa sherehe kabambe kushukuru kuufunga mwaka na kuepukana na janga hili la Covid-19.
Madhumuni ya sherehe hizo ni kutoa shukrani za kipee kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwakifikisha hapa na kusherehekea kuwa wazima wa afya baada ya kuandamwa na janga hili na pia kuwaunganisha Waafrika wote kwa ujumla.
Pata kufahamu zaidi yaliyosemwa na Waratibu wa sherehe hizo kama walivyohojiwa na Mtayarishaji wetu FRANK MTAO
Share






