Shinikizo kwa baadhi yamawaziri wa Morrison, yawa weka kwenye njia panda

Waziri Mkuu Scott Morrison na Mwanasheria Mkuu Christian Porter

Waziri Mkuu Scott Morrison (kushoto) na Mwanasheria Mkuu Christian Porter (kulia) ndani ya bunge la taifa. Source: AAP

Uongozi wa Waziri Mkuu Scott Morrison, unaendelea kuyumbishwa kwa kashfa zinazo wakabili baadhi yamawaziri wake muhimu.


Mawaziri husika wamekana shutma zote dhidi yao, hata hivyo mawaziri hao wanaendelea kukabiliwa kwa changamoto kutoka kwa vyama vya upinzani na wadau wengine katika jamii.

Otieno Makoochieng ni mtaalam wa maswala yakisiasa na sheria nchini Australia. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bw Otieno aliweka wazi changamoto zakisheria, zinazo wakabili mawaziri husika na kama serikali iko sahihi kusema uchunguzi huru, hau hitajiki kwa maswala hayo.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service