Simba wala Mbao

Wachezaji wa Mbao FC na Simba SC wakiwania mpira hewani

Wachezaji wa Mbao FC na Simba SC wakiwania mpira hewani Source: Picha:Goal Tanzania

Wakali wa soka ya Tanzania Simba SC wame ponea kichapo toka kwa wenyeji Mbao FC, katika mechi ya ligi ambayo mashabiki wa Mbao wame salia wakimlaumu mwamuzi wa mechi aliye ongeza dakika 7 na hapo kuipa Simba fursa yaku sawazisha nakushinda mechi hiyo kwa magoli 3-2. Bonyeza hapo juu usikie makala toka kwa mchambuzi wetu mkuu wa michezo Frank Mtao.



Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now