Simba wala Mbao

Wachezaji wa Mbao FC na Simba SC wakiwania mpira hewani

Wachezaji wa Mbao FC na Simba SC wakiwania mpira hewani Source: Picha:Goal Tanzania

Wakali wa soka ya Tanzania Simba SC wame ponea kichapo toka kwa wenyeji Mbao FC, katika mechi ya ligi ambayo mashabiki wa Mbao wame salia wakimlaumu mwamuzi wa mechi aliye ongeza dakika 7 na hapo kuipa Simba fursa yaku sawazisha nakushinda mechi hiyo kwa magoli 3-2. Bonyeza hapo juu usikie makala toka kwa mchambuzi wetu mkuu wa michezo Frank Mtao.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service