Socceroos wafuzu kucheza katika Kombe la Dunia baada ya kuishinda Saudi Arabia

Socceroos in action during World Cup qualifier

Riley McGree of the Socceroos in action during the 2026 FIFA men's World Cup qualifier match between Australia Socceroos and Japan Samurai Blue at Optus Stadium in Perth, Thursday, June 5, 2025. (AAP Image/Richard Wainwright) NO ARCHIVING, EDITORIAL USE ONLY Source: AAP / RICHARD WAINWRIGHT/AAPIMAGE

Wiki hii timu ya mpira wa miguu ya taifa Socceroos, ili fuzu kwa Kombe la Dunia tena baada yakupata ushindi dhidi wenyeji wao Saudi Arabia.


Kuna mchanganyiko wa hisia kati ya kusherehekea mafanikio hayo, na kujiuliza namna yaku chukua hatua zitakazo fuata.

Ili wahi kuwa nadra… kwa sasa ni kawaida…. Ila hai fai puuzwa. Socceroos wame fuzu kucheza katika Kombe la Dunia kwa mara ya sita mfululizo.

Ushindi wa magoli mawili kwa moja wa Australia dhidi ya Saudi Arabia mjini Jeddah katika mechi ya mwisho ya makundi, ili ipa Australia dhamana ya nafasi ya pili katika kundi C. Hiyo ina maana Australia imejikatia tiketi yakushiriki katika kombe la dunia mwakani bila kuhitaji kucheza mechi za ziada kwa ajili yaku fuzu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Socceroos wafuzu kucheza katika Kombe la Dunia baada ya kuishinda Saudi Arabia | SBS Swahili