Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Steve "Na amini naweza kuwa kiongozi bora"

Steve Kemei mgombea huru wa wadhifa wa Naibu Rais katika uchaguzi wa chuo cha ECU.jpg

Wanafunzi wa chuo cha ECU mjini Perth wana ingia debeni kuwachagua viongozi wao wapya.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanafunzi wa chuo cha ECU mjini Perth wana ingia debeni kuwachagua viongozi wao wapya.


Steve Kemei anawania wadhifa wa Naibu Rais wa wanafunzi wakimataifa katika chuo hicho.

Katika mahojiano na SBS Swahili, aliweka wazi motisha yaku wania wadhifa huo pamoja na atakavyo ongoza tofauti na watangulizi wake iwapo ata fanikiwa kushinda uchaguzi huo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now