Taarifa ya Habari 25 Machi 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Richard Marles, amesema kutakuwa uwekezaji wa ziada katika idara ya Ulinzi wa dola bilioni 1 katika bajeti itakayo tangazwa usiku wa leo Jumanne Machi 25.


Waziri Mkuu Anthony Albanese amekaribisha majimbo yote na wilaya zote, baada mamlaka hizo kutia saini makubaliano ya uwekezaji wa shule ya Serikali ya shirikisho.

Wakuu wa nchi toka jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya maendeleo ya kusini mwa Afrika, SADC, watakutana hivi leo kwa njia ya mtandao, kujadiliana kuhusu hali inayoendelea mashariki mwa nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Vijana nchini Kenya, Jumatatu waliandamana nje ya jengo ambalo mahojiano ya kumteua mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) yalikuwa yakiendelea huku wakidai kuwa baadhi ya walioteuliwa walikuwa wazee.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 25 Machi 2025 | SBS Swahili