Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 15 Oktoba 2024

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Mawaziri wa afya wa Australia wame idhinisha mchakato wa haraka, kwa madaktari waliofunzwa ng'ambo kuanza kufanya kazi kote nchini.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mawaziri wa afya wa Australia wame idhinisha mchakato wa haraka, kwa madaktari waliofunzwa ng'ambo kuanza kufanya kazi kote nchini.


Jeshi la Ulinzi la Australia limethibitisha maafisa wake wanao hudumu katika vikosi vya amani katika ukanda wamashariki ya kati wako salama, tangazo hilo limejiri wakati kuna ongezeko ya wito wa maafisa hao warejeshwe nyumbani.

Shirika la misaada la Foodbank lime toa ripoti inayo onesha kuwa zaidi ya familia milioni 3 zinakabiliana na ukosefu wa chakula chakutosha, shinikizo la gharama ya maisha inawafanya baadhi ya wazazi wakose kula ili watoto wao wale.

Mwendesha mashtaka wa ICC atangaza uchunguzi mpya dhidi ya madai ya uhalifu Kongo.

Callixte Mbarushimana afutiwa mashitaka ya kuhusika katika mauaji ya halaiki ya Watutsi nchini Rwanda.

Jaji Mkuu ajibu maombi ya Gachagua kwa kuteua jopo la kusikiza kesi zake sita, hata hivyo Bw Gachagua anatarajiwa kufika ndani ya Seneti nchini Kenya hii leo kujibu mashtaka dhidi yake.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now