Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 17 Januari 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Kupandishwa cheo kwa wanasiasa wanne wa kike ndani ya baraza la mawaziri wa waziri mkuu, kume fufua mjadala kuhusu uwakilishi wa wanawake ndani ya upinzani wa mseto.


Published

Updated

By Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kupandishwa cheo kwa wanasiasa wanne wa kike ndani ya baraza la mawaziri wa waziri mkuu, kume fufua mjadala kuhusu uwakilishi wa wanawake ndani ya upinzani wa mseto.


Wasafiri wana onywa wabaki nyumbani kama wanaweza kwa sababu ya dhoruba na hatua zanazo endelea zakiviwanda zinazo tumbukiza mfumo wa reli wenye shughuli nyingi zaidi nchini Australia katika hali ya machafuko. Takriban nusu ya huduma zote za reli za New South Wales zilifutwa Jumatano wakati, chama cha wafanyakazi wa Reli, Tram na Basi kili rejesha marufuku yakufanya kazi wakati kikishauriana na serikali ya jimbo kuhusu toleo jipya la malipo.

Rwanda imesema Jumatano kuwa imefanya ugunduzi wa mafuta katika Ziwa Kivu, ikiwa ni kwa mara ya kwanza katika nchi isiyo na bahari katika eneo la Maziwa Makuu, kulingana na vyombo vya habari vya ndani. "Habari njema ni kwamba tuna mafuta," Francis Kamanzi, mkurugenzi mkuu wa Ofisi ya Madini, Mafuta na Gesi nchini Rwanda, amekiambia kikao cha bunge, kama ilivyonukuliwa na vyombo kadhaa vya habari, ikiwa ni pamoja na tovuti ya habari ya Igihe. Bw.Kamanzi amesema kuwa visima 13 vya uchunguzi vilivyochimbwa upande wa Rwanda wa Ziwa Kivu, pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), vinaonyesha uwepo wa mafuta.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now