Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 2 Mei 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Uchambuzi mpya umetabiri Upinzani wa mseto utapitia uzoefu mubaya zaidi wa matokeo katika muda wa miaka 80 katika uchaguzi mkuu wa kesho.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Uchambuzi mpya umetabiri Upinzani wa mseto utapitia uzoefu mubaya zaidi wa matokeo katika muda wa miaka 80 katika uchaguzi mkuu wa kesho.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Waziri Mkuu Anthony Albanese na kiongozi wa upinzani Peter Dutton wana fanya kampeni katika siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi mkuu kabla ya vituo vya kupiga kura kufunguliwa rasmi kesho.

Polisi nchini Kenya imesema mauaji ya mbunge wa Kenya, Charles Ong'ondo Were, katika mji mkuu Nairobi, yumkini yalikuwa ni ya kupangwa. Mbunge huyo, alipigwa risasi na kuuawa barabarani kwenye mji mkuu wa Nairobi jana Jumatano. Akilielezea tukio hilo msemaji wa Polisi ya Kenya Muchiri Nyaga amesema kwa namna tukio hilo lilivyotokea inaonekana kwamba uhalifu huo ulipangwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now