Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 20 Disemba 2024

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Eneo la kusini mashariki Queensland, lina jiandaa kukaribisha afueni ya hali ya hewa baada ya dhoruba kusababisha barabara kufungwa, umeme kupotea na mafuriko.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Eneo la kusini mashariki Queensland, lina jiandaa kukaribisha afueni ya hali ya hewa baada ya dhoruba kusababisha barabara kufungwa, umeme kupotea na mafuriko.


Ila mvuo nzito zita lowanisha sehemu zakitropiki za kaskazini hii loe 20 Disemba, ambako hali ya hewa ya mvua inatarajiwa kwa siku kadhaa.

Mashariki mwa DRC bado inaendelea kukumbwa na vitendo vya ghasia zinazofanywa na waasi na sasa wakiwa wameingia katika mji wa Butembo na kwingineko ambako tayari wameteka vijiji zaidi ya 10. Inaonekana kuwa waasi wanazidi kusonga mbele hatua ambayo inaliweka jeshi la FARDC kupungukiwa nguvu ya kupambana nao. Ingawa walinda amani wa SADC na MONUSCO wako katika maeneo ya DRC lakini hali ya uasi bado inaongezeka.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now