Taarifa ya Habari 24 Julai 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Serikali ya shirikisho kuwasilisha miswada 18 katika wiki ya kwanza ya vikao vya bunge la 47.


Wanao toa huduma ya wazee wanaomba hatua za haraka, wakati UVIKO-19 ina athiri zaidi ya theluthi tatu ya vifaa vya huduma ya wazee nchini Australia.

Shirika la Marekani la maendeleo ya kimataifa USAID limetangaza kwamba litaipatia Kenya dola milioni 255 kama msaada wa dharura na maendeleo kukabiliana na ukame uliokithiri na Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amewaomba viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki kukubali maombi ya Somalia kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo.

Peter Bol apeperusha bendera ya Australia katika fainali ya 800m ya michuano ya dunia ya riadha ya Oregon, na historia yatengezwa katika fainali ya kombe la Afrika la wanawake, wakati mataifa kadhaa yajikatia tiketi za nusu fainali ya kombe la wanawake la Ulaya.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service