Taarifa ya Habari 24 Machi 2025

Bench - Swahili.jpg

Serikali ya Labor na Upinzani wana sifu sera zao za Uchumi, kabla ya kutangazwa kwa bajeti ya shirikisho kesho Jumanne 25 Machi.


Jimbo la Queensland limejiunga na majimbo mengine kutia saini mkataba na serikali ya shirikisho, kuwekeza kikamilifu shule za umma kufikia mwaka wa 2034.

Watu sita wameuawa katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na wanamgambo wa al-Shabaab kwenye kituo cha polisi kaskazini-mashariki mwa Kenya, Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka nchini Kenya.

Wakuu wa nchi toka jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya maendeleo ya kusini mwa Afrika, SADC, watakutana hivi leo kwa njia ya mtandao, kujadiliana kuhusu hali inayoendelea mashariki mwa nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 24 Machi 2025 | SBS Swahili