Taarifa ya Habari 27 Juni 2023

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Waziri Mkuu Anthony Albanese atetea hatua za serikali yake kukabili mgogoro wa utoaji wa nyumba.


Serikali ya shiriksiho inatupilia mbali wasiwasi kuhusu ongezeko kwa bei za viza kuwa hali hiyo ita athiri uchumi. Gharama ya viza kufanya kazi wakati wa likizo, itaongezekwa kwa $130 mwaka mpya wa fedha utakapo anza Jumamosi ambayo itakuwa Julai mosi.

Serikali ya ki-Conservative ya Waziri Mkuu Rishi Sunak inataka kuwapeleka maelfu ya wahamiaji zaidi ya kilomita 6,400 kwenda Rwanda kama sehemu ya makubaliano na nchi hiyo ya Afrika ya kati yaliyofikiwa mwaka jana.

Rais wa Kenya William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa kwanza wa fedha wa serikali yake, unaolenga kuongeza mapato kwa kutoza kodi katika bidhaa kadhaa bila kujali ukosoaji kwamba ongezeko hilo la kodi litasababisha matatizo mengi zaidi ya kiuchumi kwa wananchi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service