Taarifa ya Habari 28 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametumia ziara katika shirika linalo toa makaazi ya jumuiya katika eneo la Central Coast jimboni, New South Wales kutangaza ahadi ya uchaguzi yenye thamani ya $20 milioni kwa kituo kipya cha kuondoa kiwewe cha wanawake na watoto.


Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zinalenga kupata mkataba kufikia tarehe 2 mwezi Mei, utakaosaidia kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili ulioyumba, kutokana na utovu wa usalama Mashariki mwa DRC.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service