Taarifa ya Habari 28 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametumia ziara katika shirika linalo toa makaazi ya jumuiya katika eneo la Central Coast jimboni, New South Wales kutangaza ahadi ya uchaguzi yenye thamani ya $20 milioni kwa kituo kipya cha kuondoa kiwewe cha wanawake na watoto.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zinalenga kupata mkataba kufikia tarehe 2 mwezi Mei, utakaosaidia kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili ulioyumba, kutokana na utovu wa usalama Mashariki mwa DRC.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now