Taarifa ya Habari 29 Aprili 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Waziri Mkuu Anthony Albanese ana fanya kampeni katika eneo bunge la chama cha Greens la Griffith, chama cha Labor kikiwa na matumaini yakushinda eneo bunge hilo la ndani ya Brisbane.


Kiongozi wa New South Wales amesema serikali yake imechukua hatua zaku shughulikia ongezeko ya visa vya unyanyasaji wakijinsia ndani ya jumuiya, katika jibu la kifo cha mwanamke wa miaka 19 katika mwezi wa Machi.

Polisi Tanzania wameizingira nyumba ya Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, Chadema, Tundu Lissu na Makamu Mwenyekiti wake, John Heche, wakati shauri la kupinga kusikilizwa kwa kesi ya Lissu kwa njia ya mtandao. Wakati hayo yakijiri kesi hiyo imeendelea kwa njia ya mtandao huku wanahabari wakizuiwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service