Taarifa ya Habari 3 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ita toa dola milioni 50, kwa sekta zitakazo athiriwa kwa tangazo jipya la ushuru kutoka Marekani.


Mvua inatarajia kupungua katika maeneo ya ndani ya Queensland ila, tisho la mafuriko bado lina endelea kuwa. Sehemu za kusini magharibi Queensland zilipokea zaidi ya mililita 100 ya mvua jana ila, hali hiyo ya hewa inatarajiwa kuelekea katika maeneo ya kaskazini na mashariki ya jimbo hilo hii leo.

Duru za pande hasimu nchini Kongo zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana April 9.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 3 Aprili 2025 | SBS Swahili