Taarifa ya habari 6 Disemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Jeshi la polisi la New South Wales lakubali wajibu, baada yakuwaruhusu wasafiri kukwepa kimakosa karantini.


Uamuzi wa Rais Donald Trump kuwaondoa wanajeshi wa Marekani nchini Somalia katika siku za mwisho za urais wake, umechochea malalamiko kutoka kwa baadhi ya Wasomali, ambao wamemuomba rais ajaye Joe Biden kubadili uamuzi huo.

Vita vya takribani mwezi mmoja vya Ethiopia katika jimbo la kaskazini la Tigray, vimeathiri kwa kiwango kikubwa jitihada za kukabiliana na janga la corona katika taifa hilo miongoni mwa yenye kiwango kikubwa cha maambukizi barani Afrika.

Chama cha upinzani cha ACT Wazalendo kimeafikia uamuzi wa kujiunga na serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa mujibu wa Ado Shaib katibu mkuu wa chama hicho. Katika mkutano maalum wa kamati kuu ya chama cha ACT Wazalendo, wameamua kuwa wapendekeze jina la mwanachama atakayekuwa makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 6 Disemba 2020 | SBS Swahili