Shule mbili jimbo la NSW kufungwa kuanzia Jumatatu kutokana na Corona, huku wazee wanaoshi kwenye vituo vya malezi washerehekea siku ya akina baba kitofauti sana mwaka huu.
Mwanamke mmoja huko Brisbane ashtakiwa kwa mauaji.
Na mtu mmoja achomwa kisu maeneo ya Newtown, hapa Sydney.
Katika habari za Kimataifa, nchini Uganda, Waziri akamatwa kwa mauaji,
Na janga la Corona laendelea kuitesa India.
Share






