Taarifa ya habari 6 Septemba

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Shule mbili jimbo la NSW kufungwa kuanzia Jumatatu kutokana na Corona, huku wazee wanaoshi kwenye vituo vya malezi washerehekea siku ya akina baba kitofauti sana mwaka huu.


Mwanamke mmoja huko Brisbane ashtakiwa kwa mauaji.

Na mtu mmoja achomwa kisu maeneo ya Newtown, hapa Sydney.

Katika habari za Kimataifa, nchini Uganda, Waziri akamatwa kwa mauaji,

Na janga la Corona laendelea kuitesa India.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 6 Septemba | SBS Swahili