Taarifa ya habari 7 Februari 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Wa Australia watakao pokea chanjo ya coronavirus, kupokea cheti cha uthibitisho chini ya mpango maalum wa serikali.


Rais mpya wa Marekani ameweka dhahiri kuwa ulimwengu utarajie Marekani yenye diplomasia zaidi kuelekea mbele akianza kwa kusitisha mpango wa rais aliyeondoka Donald Trump wa kuondoa maelfu ya wanajeshi wa Marekani walioko Ujerumani.

Kamanda wa zamani wa waasi wa Uganda Dominic Ongwen alikutwa na hatia Alhamisi kwa uhalifu wa vita na uhalifu mwingine dhidi ya ubinadamu. Tuhuma hizo ni pamoja na mauaji, manyanyaso ya kingono, kuwateka watoto, wizi wa ngawira, katika uamuzi kwenye mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa.

Rais wa Afrika Kusini ambaye pia ni mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Umoja wa Afrika Cyril Ramaphosa amesema leo kuwa upatikanaji wa mikopo yenye masharti nafuu itakuwa jambo muhimu kuelekea ufufuaji wa uchumi wa mataifa ya Afrika ulioathiriwa na janga la COVID-19.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 7 Februari 2021 | SBS Swahili