Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 8 Mei 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema mtazamo wa mhula wa pili wa serikali ya Labor, utakuwa kuimarisha mahusiano na washiriki walio ng’ambo, kuhakikisha utulivu wa kiuchumi nyumbani.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema mtazamo wa mhula wa pili wa serikali ya Labor, utakuwa kuimarisha mahusiano na washiriki walio ng’ambo, kuhakikisha utulivu wa kiuchumi nyumbani.


Mageuzi kwa viwango vya chanjo vya mfamasia wa New South Wales, vitaruhusu wafamasia kutoa chanjo za mafua kwa watoto wachanga, ambao ni miongoni mwa makundi ambayo viwango vyao vya chanjo vimerudi nyuma.

Moshi mweusi umetoka kwenye chimni ya Kanisa la Sistine ishara kuwa makadinali wameshindwa kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki katika duru yao ya kwanza ya kura ya kongamano lao.

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wameanzisha tena mazungumzo ya amani huko Doha, Qatar, kama sehemu ya juhudi za kidiplomasia kumaliza mgogoro ulioathiri mashariki mwa nchi hiyo.

Katika michezo, Arsenal yatupwa nje ya michuano ya kombe la klabu bingwa la Ulaya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now