Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 9 Aprili 2023

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Maelfu ya watu wameadhimisha ibada ya Pasaka, ndani ya makanisa kote nchini. Waumini wana adhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo, kulingana na maandishi ya Biblia takatifu.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Maelfu ya watu wameadhimisha ibada ya Pasaka, ndani ya makanisa kote nchini. Waumini wana adhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo, kulingana na maandishi ya Biblia takatifu.


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesisitiza kuwa chama chake hakita chapisha maoni ya mwanasheria mkuu kwa kura ya maoni yakuweka sauti yawa Australia wa asili katika katiba.

Mamlaka Magharibi Australia wametoa tahadhari ya bluu ya kimbunga kwa kanda la Kaskazini Kimberley.

Marekani kutoa msaada kukabilina na ugaidi Afrika Magharibi, watu 27 wafa baada ya mashua kuzama katika pwani ya Tunisia na Mamia wa wakazi wa jiji la Dar es Salaam na viunga vyake wamejitokeza katika uwanja wa Taifa kushuhudia mashindano makubwa ya usomaji Qur’an.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now