Taarifa ya habari 9 Februari 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Mamlaka wasema mpango wa utoaji wa chanjo za COVID-19 nchini Australia, uko shwari kwa utoaji mwezi huu wapili.


Baraza la seneti la Marekani leo litaanza mchakato wa kusikiliza kesi inayomkabili rais wa zamani Donald Trump, wakati timu ya mawakili wa kiongozi huyo ikidai kwamba mashitaka dhidi yake ni kinyume na katiba.

Muungano wa vyama vya upinzani nchini Somalia umependekeza kuundwa kwa Baraza la Taifa la wabunge, viongozi wa upinzani na mashirika ya kiraia kuongoza taifa hilo la Pembe ya Afrika, baada ya muda wa rais kumalizika jana bila kuwepo na mpango wa kukabidhi madaraka.

Afrika Kusini imesitisha kwa muda kampeni yake ya chanjo dhidi ya COVID-19 Jumapili baada ya utafiti mpya kubaini kuwa chanjo ya AstraZeneca haifanyi kazi vizuri dhidi ya aina mpya ya virusi vinavyopatikana nchini humo. Shirika la Afya Duniani - WHO linafanya mkutano Jumatatu kuhusu maendeleo ya hivi karibuni nchini Afrika Kusini.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service