Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari:Serikali ya shirikisho yaongeza gharama ya maombi kwa vitengo kadhaa vya visa za Australia kwa asilimia 25

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili
Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Ada ya maombi ya visa ya mwanafunzi imeongezeka tangu Julai 1 kutoka $2,000 hadi $2,500, huku Visa ya Muda ya Uzamili, au visa nambari 485, sasa inagharimu $5,750.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Ada ya maombi ya visa ya mwanafunzi imeongezeka tangu Julai 1 kutoka $2,000 hadi $2,500, huku Visa ya Muda ya Uzamili, au visa nambari 485, sasa inagharimu $5,750.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Australia tayari ina moja ya ada za juu zaidi za maombi ya visa ya mwanafunzi duniani, na ongezeko la hivi karibuni limesababisha ukosoaji kutoka kwa baadhi ya wanafunzi wa kimataifa na mawakala wa uhamiaji.

Waziri wa Sekta ya Ulinzi Pat Conroy anasema sera ya ulinzi ya serikali, ikiwa ni pamoja na mradi wa AUKUS, ni mfano wa 'uzalendo unaoendelea'. Baadhi ya viongozi wenye ushawishi katika chama tawala cha Labor kama Peter Garrett na Ed Husic, wanatoa wito wa makubaliano ya kupata manowari zinazotumia nyuklia kutoka Marekani yachunguzwe upya.

Mvutano wa kidiplomasia umeibuka kati ya Afrika Kusini na Ghana kufuatia madai kwamba raia wa Ghana aliuawa wakati wa maandamano dhidi ya wahamiaji, madai ambayo maafisa wa Afrika Kusini wameyakanusha.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now