Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: Wanafunzi wanane washitakiwa kwa mauaji Kenya

Bench - Swahili.jpg

Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.


Mahakama ya Kenya imewashtaki wasichana wanane wa shule kwa mauaji. Wameshtakiwa kwa kusababisha vifo vya wanafunzi wenzao 16 katika moto wa bweni kwenye shule moja ya jimbo la Bonde la Ufa mwishoni mwa mwezi Mei.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now