Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.
Mahakama ya Kenya imewashtaki wasichana wanane wa shule kwa mauaji. Wameshtakiwa kwa kusababisha vifo vya wanafunzi wenzao 16 katika moto wa bweni kwenye shule moja ya jimbo la Bonde la Ufa mwishoni mwa mwezi Mei.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






