Kilichojiri baada ya vuguvugu za kugombea uongozi

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton awasili bungeni

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton awasili bungeni Source: AAP

Baada ya matukio ya wiki jana yaliyojumuisha mvutano katika uongozi wa taifa, baraza jipya la mawaziri la Scott Morrison linajaribu kuunganisha serikali, ambayo ilikuwa imevunjwa na tofauti ndani yake.


Wakati huo huo pia serikali inajaribu kukarabati, sehemu ya sera zake muhimu kama nishati. Ila mivutano ya wiki iliyopita imeingia katika wiki ya kwanza ya serikali mpya.

Katika taarifa zingine, Scott Morrison ameondoka nchini, akielekea Indonesia kwa ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama waziri mkuu.

Anatarajia kurejea nchini akiwa na makubaliano ya biashara huru yaliyoahidiwa kwa muda mrefu, pamoja na fursa yakuwasilisha ajenda hiyo bunge litakapofanya kikao tena baada ya wiki moja.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kilichojiri baada ya vuguvugu za kugombea uongozi | SBS Swahili