Theophile:"Siamini matatizo yanayo endelea Congo yatafika hapa Australia"

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia.

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia. Source: Theophile Elongo

Migogoro yakikabila inayo endelea katika jimbo la Kusini Kivu, Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, ina endelea kuzua wasiwasi katika jamii kadhaa nchini Australia.


Mwenyekiti wa jamii yawatu kutoka DR Congo wanao ishi jimboni New South Wales, Bw Theophile Elongo alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, jinsi viongozi wajamii na viongozi wakisiasa wanavyo shughulikia swala hilo.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now