Tim "Uwekezaji wa serikali kwa huduma ya malezi ya watoto hautoshi!"

Mwalimu pamoja na watoto darasani

Source: Getty Images/Ariel Skelley

Mweka hazina wa taifa alitangaza bajeti ya mwaka huu, ambayo ilikuwa yapili kutangazwa chini ya wingu la janga la COVID-19.


Kama ilivyo desturi serikali iligawa hela katika sekta mbali mbali, na sekta ya huduma ya malezi ya watoto nayo ilipokea mfuko wa uwekezaji wa dola bilioni 1.7 kwa muda wa miaka mitano.

Je wazazi wanao tumia huduma hizo wana maoni yapi kuhusu kiwango cha uwekezaji, ambacho sekta hiyo imepokea? Je wameridhika au la? Bw Tim ni mtaalam wamaswala ya uchumi napia familia yake hutumia huduma hizo, alichangia maoni yake na Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu uwekezaji wa serikali ya shirikisho kwa sekta ya huduma ya malezi ya watoto.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service