Turnbull akwepa maswali kuhusu chama cha mseto, baada yakupoteza kura ya maoni ya 30 ya Newspoll

Prime minister Malcolm Turnbull

Prime minister Malcolm Turnbull Source: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesisitiza kuwa bado ana ungwa mkono na chama chake baada yakushindwa kwa mara ya 30 mtawalio katika kura ya maoni ya Newspoll, ambayo ili baini kuwa umma unapendelea chama cha Labor katika uongozi.


Bw Turnbull alitumia kisa cha kushindwa kwa mara 30 mtawalio katika kura za maoni za Newspoll, kumwondoa mtangulizi wake Tony Abbott madarakani mwaka wa 2015.

Ila Bw Turnbull amesema, hatakama ana juta kutumia matokeo ya kura ya maoni ya Newspoll kama sababu yaku mwondoa madarakani mtangulizi wake, Bw Turnbull amesema kuwa anaendelea kuwa na matokeo bora kazini kuliko Tony Abbott katika njia tofauti.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Turnbull akwepa maswali kuhusu chama cha mseto, baada yakupoteza kura ya maoni ya 30 ya Newspoll | SBS Swahili