Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesisitiza kuwa bado ana ungwa mkono na chama chake baada yakushindwa kwa mara ya 30 mtawalio katika kura ya maoni ya Newspoll, ambayo ili baini kuwa umma unapendelea chama cha Labor katika uongozi.
Bw Turnbull alitumia kisa cha kushindwa kwa mara 30 mtawalio katika kura za maoni za Newspoll, kumwondoa mtangulizi wake Tony Abbott madarakani mwaka wa 2015.
Ila Bw Turnbull amesema, hatakama ana juta kutumia matokeo ya kura ya maoni ya Newspoll kama sababu yaku mwondoa madarakani mtangulizi wake, Bw Turnbull amesema kuwa anaendelea kuwa na matokeo bora kazini kuliko Tony Abbott katika njia tofauti.
Share






