Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Uchaguzi wa shirikisho wa Australia kufanywa 3 Mei 2025

ELECTION25 GRAPHICS

A combination diptych created on Thursday, March 20, 2025 of Leader of the Opposition Peter Dutton and Prime Minister Anthony Albanese. Source: AAP / RICHARD WAINWRIGHT/AAPIMAGE

Tarehe ya uchaguzi wa shirikisho wa 2025 ime tangazwa. Tangazo hilo lina maana gani? Na unastahili fanya nini sasa?


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Ni sahihi, tarehe 3 Mei itakuwa tarehe ya uchaguzi mkuu. Ila wanasiasa wame kuwa wakifanya matangazo makubwa tangu mwaka jana. Je, hatua gani itafuata sasa?

Leo, Waziri Mkuu alimtembelea Gavana Mkuu na kumuomba avunje bunge la taifa.

Kama hauta kuwa nchini siku ya kupiga kura, unaweza piga kura kwa kutumia posta, kupiga kura mapema au kupiga kura katika ubalozi wa ng'ambo. Kama yote haya nikama yana kuchanganya, usiwe na wasi wasi.

SBS itakuletea kila kitu unacho stahili jua, kabla upige kura. Unaweza fuata makala ya 'SBS Our House' kokote unako pata makala yako yaliyo rekodiwa.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now