Unafanyaje mipangilio ya uzazi baada yakuachana na mchumba wako?

Family court

Source: SBS

Chini ya sheria ya Familia, haki za ustawi wa watoto huongoza mazungumzo yote ya uzazi, baada ya wanandoa kutengana au kupata talaka.


Watoto wenye chini ya umri wa miaka 18, kisheria hawawezi amua ambako wata ishi. Wazazi lazima wafikie makubaliano kuhusu mipangilio ya malezi ambayo ni salama, yavitendo na inayo walenga watoto husika.


Ni mhimu kupata ushauri wa mwanasheria kabla yakufanya maamuzi yoyote, kama unahisi unashinikizwa kukubali mpangilio fulani wa uzazi na, haswa kama unapitia uzoefu wa vurugu ya familia.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service