Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Unafanyaje mipangilio ya uzazi baada yakuachana na mchumba wako?

Family court

Chini ya sheria ya Familia, haki za ustawi wa watoto huongoza mazungumzo yote ya uzazi, baada ya wanandoa kutengana au kupata talaka.


Published

Updated

By Melissa Compagnoni

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Chini ya sheria ya Familia, haki za ustawi wa watoto huongoza mazungumzo yote ya uzazi, baada ya wanandoa kutengana au kupata talaka.


Watoto wenye chini ya umri wa miaka 18, kisheria hawawezi amua ambako wata ishi. Wazazi lazima wafikie makubaliano kuhusu mipangilio ya malezi ambayo ni salama, yavitendo na inayo walenga watoto husika.

Ni mhimu kupata ushauri wa mwanasheria kabla yakufanya maamuzi yoyote, kama unahisi unashinikizwa kukubali mpangilio fulani wa uzazi na, haswa kama unapitia uzoefu wa vurugu ya familia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now