Katika Siku ya 22 ya Kombe la Dunia la FIFA, Ureno iliwashinda Kroeshia katika mechi ya mwisho ya Kombe la Dunia ya Luka Modrić, Uhispania ili icharaza Austria, na Uswisi ikaishinda Algeria na kufuzu kwa Raundi ya 16.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Socceroos wamekamilisha maandalizi ya mechi ya kesho ya Raundi ya 32 dhidi ya Misri mjini Dallas, Kocha mkuu Tony Popovic amesema timu yake imetulia, inajiamini na iko tayari kuwinda ushindi wa kwanza kabisa wa Australia wa hatua ya mchujo wa Kombe la Dunia.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






