Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Vincent afunguka kuhusu sekta ya ucheshi Australia

Bango la Vincent Tshaka na wacheshi wenza

Idadi ya wacheshi wenye asili ya Afrika ina endelea kuongezeka nchini Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Idadi ya wacheshi wenye asili ya Afrika ina endelea kuongezeka nchini Australia.


Vincent Tshaka ni mcheshi mwenye asili ya Kenya na yuko katika mstari wa mbele, wa wacheshi wanao endelea kupata umaarufu nakufanya vizuri katika tasnia hiyo yenye ushindani mkubwa.

Katika mahojiano na SBS Swahili, alifunguka kuhusu tamasha anayo andaa itakayo wajumuisha wacheshi kutoka tamaduni mbali mbali.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now