Vincent afunguka kuhusu sekta ya ucheshi Australia

Bango la Vincent Tshaka na wacheshi wenza

Idadi ya wacheshi wenye asili ya Afrika ina endelea kuongezeka nchini Australia.


Vincent Tshaka ni mcheshi mwenye asili ya Kenya na yuko katika mstari wa mbele, wa wacheshi wanao endelea kupata umaarufu nakufanya vizuri katika tasnia hiyo yenye ushindani mkubwa.

Katika mahojiano na SBS Swahili, alifunguka kuhusu tamasha anayo andaa itakayo wajumuisha wacheshi kutoka tamaduni mbali mbali.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service