Viongozi wa jamii watathmini mwaka mmoja baada ya mwanzo wa COVID-19

Bi Nancy Kamau Birgen (kushoto) na Mchungaji Ngugi Ngotho (kulia)

Bi Nancy Kamau Birgen (kushoto) na Mchungaji Ngugi Ngotho (kulia), katika bustani ya Holyroyd, waliko andalia mkutano wa Pasaka 5 Aprili 2021. Source: SBS Swahili

Vizuizi vya Coronavirus vinaendelea kuondolewa kote nchini Australia, hatua ambayo imekaribishwa na jamii zote pamoja na viongozi wao.


Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na baadhi ya viongozi wakidini katika jamii yawa Kenya wanao ishi mjini Sydney, Australia katika tathmini ya mwaka mmoja baada ya kutangazwa kwa mlipuko wa COVID-19 nchini Australia na kote duniani.

Bi Nancy Kamau Birgen na Mchungaji Ngugi Ngotho, waliweka wazi uzoefu wao pamoja na waliyo jifunza kupitia vizuizi vya Coronavirus, pamoja na hatua ambazo wamechukua kukabiliana na changamoto za siku za usoni zitakazo sababishwa na janga hili.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service