Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vital Kamerhe achaguliwa kuwa spika mpya wa bunge la DRC

Democratic Republic of Congo politician Vital Kamerhe.

Democratic Republic of Congo politician Vital Kamerhe. Source: AFP

Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamemchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa siku ya Jumapili, kuwa spika mpya.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamemchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa siku ya Jumapili, kuwa spika mpya.


Hatua hiyo ni muhimu kuelekea kuweka serikali miezi mitano baada ya uchaguzi wa rais.

Mandishi wetu Jason Nyakundi ame andaa taarifa maalum kuhusu uchaguzi huo pamoja na maswala mengine muhimu kutoka Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa taarima kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now