Vyama vya upinzani vyalalamikia kufungwa kwa kiongozi Tanzania

Freeman Mbowe kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tanzania, akiwa na baadhi ya wanachama

Freeman Mbowe kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tanzania, akiwa na baadhi ya wanachama Source: CHADEMA

Kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe tangu wiki iliyo pita, kume zua sintofahamu nchini humo.


Licha ya ongezeko ya miito ya Bw Mbowe aachiwe huru, bado kiongozi huyo wa Chadema, yuko mikononi mwa polisi tangu wiki iliyopita.

Bonyeza hapo juu kwa maelezo kamili ya kisa hiki pamoja na taarifa zingine mhimu kutoka Afrika Mashariki.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now