Kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe tangu wiki iliyo pita, kume zua sintofahamu nchini humo.
Licha ya ongezeko ya miito ya Bw Mbowe aachiwe huru, bado kiongozi huyo wa Chadema, yuko mikononi mwa polisi tangu wiki iliyopita.
Bonyeza hapo juu kwa maelezo kamili ya kisa hiki pamoja na taarifa zingine mhimu kutoka Afrika Mashariki.
Share






