Freeman Mbowe kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tanzania, akiwa na baadhi ya wanachama Source: CHADEMAKukamatwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe tangu wiki iliyo pita, kume zua sintofahamu nchini humo.
Published
Updated
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode contentShare this with family and friends
Kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe tangu wiki iliyo pita, kume zua sintofahamu nchini humo.
Licha ya ongezeko ya miito ya Bw Mbowe aachiwe huru, bado kiongozi huyo wa Chadema, yuko mikononi mwa polisi tangu wiki iliyopita.
Bonyeza hapo juu kwa maelezo kamili ya kisa hiki pamoja na taarifa zingine mhimu kutoka Afrika Mashariki.