Vyombo vya habari hufanyaje kazi nchini Australia?

SBS and ABC

Credit: AAP Image/Joel Carrett

Uhuru wa vyombo vya habari na vyombo vya habari tofauti ni alama muhimu ya afya nzuri ya demokrasia ambako raia na waandishi wa habari wana mamkalaka ya kujielezeza, kupata taarifa na kuchapisha bila hofu ya kuingiliwa au adhabu kutoka kwa serikali.


Hatakama katiba haitoi dhamana ya uhuru wa vyombo vya habari, Australia ni miongoni mwa nchi 29 katika Orodha ya nchi zenye uhuru wa vyombo vya habari.

Kwa hiyo, nafasi ya vyombo vya habari katika demokrasia ni gani? Vyombo vya habari binafsi na vinavyo wekezwa na umma vina tofauti gani nchini Australia?

Australia ina vyombo vya habari kadhaa, vinavyo jumuisha vyombo vya habari ambavyo vinamilikiwa na watu binafsi, pamoja na mitandao inayo fadhiliwa na umma.

Umma hufadhili pia vyombo viwili vya habari vya umma kupitia mapato ya kodi. Mashirika hayo mawili ya habari ya yanayo fadhiliwa na umma ni: Australian Broadcasting Corporation (ABC) na Special Broadcasting Service (SBS).

Vyombo vya habari vinavyo milikiwa na watu binafsi, huzalisha maudhui kwa ajili faida na ukadiriaji. Huwa vina toa majibu kwa wafadhili wao wakibiashara pamoja na maslahi yao. Kinyume chake, vyombo vya habari vya umma, huwajibika kwa umma unao vifadhili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service